Watoto ni hazina ya taifa na msingi wa kesho iliyo bora
Karibu katika Kambi ya Watoto kwa watoto wenye umri wa miaka 5–15, mahali pa kujifunza, kukua kiroho, na kujengwa katika maadili mema.
Masomo yatakayofundishwa ni pamoja na:
✓Self-control
✓Forgiveness
✓Purity of Heart
✓Truth
✓Academic Excellence
✓Career Guidance and Counseling
Kupitia michezo, mafundisho, ushauri, na ushirika wa pamoja, watoto watapata nafasi ya kujifunza na kufurahia mazingira salama na yenye kujenga maisha yao ya sasa na ya baadaye.
Usikose kumleta mtoto wako kwenye kambi hii yenye baraka na mafundisho yenye kujenga tabia na kumkaribisha karibu na Mungu.




