
Covering the heart of Tanzania, the Central Zone serves Dodoma, Morogoro, and Singida regions. This zone is instrumental in coordinating our national programs and initiatives.

8:00 - 17:00, Mon - Sat
No upcoming events scheduled.

As Scripture Union Tanzania, we extend our best wishes to all Form Six students.

Walimu kutoka Scripture Union Nyanda za Juu Kusini wakiwa katika Shule ya Msingi Magufuli wakitoa mafunzo ya somo la Uinjilisti kwa wanafunzi.

Scripture Union Tanzania kwa kushirikiana na Talking Bibles International , American Bible Society, Bible Society of Kenya na Tanzania Bible Society, wamefanya tathmini ya utekelezaji wa Mpango wa Mashuleni (School Program) katika mkoa wa Singida. Mpango huu unahusisha utoaji wa mafunzo kwa walimu wa somo la dini mashuleni pamoja na ugawaji wa vifaa vya kujifunzia, ikiwemo Biblia tatu za kusoma na Biblia tatu za kuandika kwa kila shule. Lengo kuu ni kuhakikisha Neno la Mungu linawafikia wanafunzi kwa ufanisi na kuchangia katika kurejesha na kuimarisha maadili mema shuleni. Programu hii imeleta matokeo chanya miongoni mwa wanafunzi, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa Neno la Mungu, kuimarika kwa nidhamu, na mabadiliko mazuri ya kitabia.